Mkurugenzi wa aljazeera modern taarab Jamali mperampera amejinasibu kwamba katika kuendelea kuiboresha zaidi bendi yake yupo katika mazungumzo na wasanii watatu tegemezi na muhimu huko watokako, nia ni kusuka kikosi bora na cha ushindani.
MKURUGENZI WA ALJAZEERA JAMALI MPERAMPERA. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni