Muimbaji mariam b.s.s. amejiunga rasmi na bendi ya G5 modern taarab akitokea five star's modern taarab zote makazi yao yapo temeke jijini dar es salaam.
MARIAM BSS |
Akizungumza kwa kujiamini mkurugenzi wa G5 hamisi slim alisema kuwa tayari ameshamalizana nae mariam b.s.s. na kwa muda huu ni msanii wa bendi yangu, unajua mariam alikuwa asafiri na wenzake wa five star's modern taarab kwenda mikoani katika sikukuu ya x-mass lakini hawakuelewana na mkurugenzi wake wa zamani Ally J ndipo alipokuja kwangu na tukafanya biashara tukamalizana alisema hamisi slim.
MARIAM BSS AKIWA STEJINI. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni