Mtandao wa ubuyuwataarabutz,blogspot.com Kwa furaha na bashasha kubwa unapenda kuwafahamisha watangazaji wote wa vipindi vya taarab katika redio na hata televisheni kwamba wanaweza kutuma picha zao pamoja na maelezo ya vipindi vyao, nasi tutaweka katika blog hii ili kuwatangazia bure kwa muda wa wiki moja baada ya picha kutufikia..
![]() |
HUYU NI MTANGAZAJI WA BOMBA FM MBEYA, ANAITWA AMANI MBILO "KADADAA AU MJUKUU WA MPIGA MITI", JE WEWE UNASUBIRI NINI?. |
Changamkia ofa hii kwani kwa sasa blog hii inasomwa na mataifa mbalimbali duniani kote so! itakuwa ni faida kwako na kwa kituo unachofanyia kazi pia. Unachotakiwa kufanya ni kunitumia "inbox' maelezo yako sambamba na picha kwenye acount yangu ya facebook ambayo ni kais mussa kais nami bila hiyana nitaiweka na utajiona bila shaka. Kumbukeni kwamba hii ni blog yenu kwahiyo itumieni ili iwatangaze.
AHSANTENI NYOTE!!.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni