Kwa sasa unapolitamka jina la maina thadei katika tasnia hii ya taarab nchini basi kila mmoja anajua wazi kuwa huyo ni muimbaji machachari toka katika bendi ya exellent modern taarab iliyo na maskani yake jijini dar.
![]() |
MAINA THADEI-MUIMBAJI WA EXELLENT MODERN TAARAB. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni