Mtunzi mahiri wa nyimbo nyingi za taarab hapa nchini El-Hatibu Rajabu ameibuka na kusema kwamba yeye hajali hata kama asipopata zawadi ya mtunzi bora wa muziki huo, ila ukweli utabakia pale pale kwamba yeye ndio ambae anaongoza kwa sasa kuzitungia nyimbo bendi karibia zote za taarab nchini.
EL-HATIBU RAJABU MTUNZI WA NYIMBO ZA TAARAB. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni