NA KAIS MUSSA KAIS.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Akizungumza na mtandao huu mkurugenzi wa bendi hiyo Dot Do! alisema kwamba vijana wake wa aljazeera wamekuwa wakifanya mazoezi kwa takribani kila siku na hii ni maalum kwa wadau na mashabiki wao kupata ule muziki ulio sahihi kabisa na sio kubahatisha, kwani hiyo sio sifa ya aljazeera old & modern taarab, nashukuru kuona wiki iliyopita mashabiki walikuwa ni wengi sana kupita siku zote kwahiyo na jumamosi ya leo pia waje kwa wingi kwani kuna nyimbo kali sana ambazo zitapigwa na kamwe huwezi kuzisikia popote pale alimaliza kwa kusema mkurugenzi huyo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni