WAIMBAJI WA TOT TAARAB WAKIWA MAZOEZINI. |
Bendi ya Tot modern taarab kwa sasa wapo katika mazoezi ya nguvu kuandaa albam yao mpya ambayo mpaka sasa bado hawajaipa jina rasmi.
Akizungumza na mtandao huu director wa bendi hiyo mbange alisema kuwa mpaka sasa tayari wameshafanikiwa kurekodi nyimbo nne ambazo ni:-
2. ukishangaa ya kwangu utachelewa kufanya yako, muimbaji ally star
3. muungwana haropoki muimbaji sharifa ketto
4. wala sikuopoi muimbaji aziza abdul "bonge"
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni