Bendi mpya ya Wakali wa town modern taarab imeanzishwa hivi karibuni kijitonyama jijini Dar chini ya mkurugenzi mkuu "Uncle Vam", bendi hii ambayo mpaka sasa inaundwa na waimbaji sita wakike na mmoja wakiume inatarajia kuingia kambini katika mwezi mtukufu wa Ramadhan ili kuandaa vibao vikali vipya.
MKURUGENZI WA WAKALI WA TOWN UNCLE VAM AKIWA NYUMBANI KWAKE. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni