NA KAIS MUSSA KAIS.
Jumanne, 11 Agosti 2015
EXELLENT MODERN TAARAB KUZINDUA BENDI PAMOJA NA ALBUM MBILI KWA MPIGO TAREHE 4/9/2015.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Siku hiyo zitazinduliwa albam mbili kwa mpigo sambamba na kuizindua rasmi bendi hiyo ya taarab ambayo ni moto wa kuotea mbali kwa sasa hapa jijini dar!, Akizungumza na mtandao huu mkurugenzi wa bendi hiyo Mr Maimu alisema kuwa vijana wake wamejipanga kufanya mambo makubwa sana, ma-surprise bab-kubwa yameandaliwa kikubwa tunawaomba wadau na wapenzi wajitokeze kwa wingi kwani naamini watafurahi sana!.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni