Anaitwa omary zungu mpiga kinanda namba moja kwa sasa ndani ya ogopa kopa classic ambae amepiga kinanda nyimbo zote za albam ya mamaa mukubwa ambayo imekuwa gumzo kwa wadau na mashabiki kwa sasa kutokana na upigaji mzuri wa kinanda na sauti tamu toka kwa malkia khadija kopa.
![]() |
| OMARY ZUNGU AKIWA NA KINANDA. |
Mwandishi wa habari hizi alifanya mahojiano na msanii huyu ili kujua nini mafanikio yake katika muziki huu wa taarab mpaka sasa na je alianza vipi kupapasa kinanda?, ndugu mwandishi nilipata tabu sana kujifunza kinanda sababu wazazi wangu hawakupenda kabisa kuona mimi nakuwa mwanamuziki, nakumbuka mama yangu mzazi alinipigania sana nisiwe mwanamuziki, lakini ilishindikana sababu mimi muziki upo damuni sana.
![]() |


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni