NA KAIS MUSSA KAIS.
Jumamosi, 29 Agosti 2015
UZINDUZI WA EXELLENT MODERN TAARAB WAAHIRISHWA NA KUSOGEZWA MBELE.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Akizungumza na mtandao huu msanii mwandamizi wa bendi hiyo Maina thadei alithibitisha habari hii kwa njia ya simu baada ya kupigiwa ili azungumzie hili, ni kweli kaka uzinduzi umeahirishwa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu, na siku chache zijazo tamko rasmi litatolewa kwa wadau na wapenzi wetu ili wajue ni wapi na ni lini tutafanya uzinduzi wetu. napenda kuchukuwa nafasi hii kuwaomba radhi wadau wa taarab na wapenzi wetu kwa mabadiliko haya yaliyojitokeza.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni