NA KAIS MUSSA KAIS
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Baada ya jana kufanya makamuzi ya nguvu ndani ya ukumbi wa kapakabana mwananyamala A, bendi bora ya wakaliwao modern taradance "team masauti" leo inahamia katika ukumbi wa center grill zamani flamingo night club uliopo magomeni mwembe chai jijini dar kumalizia shamra shamra za sikukuu ya eid-el-hajj.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni