Safari ya wakaliwao modern taradance kuelekea katika tamasha la kimataifa la coast night nchini kenya inatarajia kuanza alhamisi ya tarehe 5/11/2015 na siku ya pili yaani tarehe 6 ijumaa ndio siku ya show husika.
![]() |
| KAIS MUSSA KAIS MENEJA MIPANGO NA URATIBU WA WAKALIWAO. |

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni