NA KAIS MUSSA KAIS.
Alizitaja bendi ambazo zitashiriki tamasha hilo mwaka huu kwa mujibu wa waandaaji kuwa ni Wakaliwao modern taradance, Jahazi modern taarab, Excellent modern taarab, Mashauzi classic na ogopa kopa classic bendi. kiukweli sisi kama wakaliwao tumefarijika sana na tunawaahidi wadau na wapenzi wetu kuwa siku hiyo tutafanya mambo makubwa sana na tutawadhihilishia kuwa sisi ni wa bora kuliko bendi zingine. Tamasha hilo mwaka huu limepangwa kufanyika tarehe 12/12/2015.
Jumanne, 3 Novemba 2015
WAKALIWAO MODERN TARADANCE WAINGIA KATIKA TAMASHA LA MITIKISIKO YA PWANI 2015/2016.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni