NA KAIS MUSSA KAIS.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Akizungumza na mtandao huu mfalme mzee yusuph amesema kwamba hiki ni kipindi cha kumuabudu mwenyezimungu na kutimiza moja ya nguzo tano za kiislam, mwezi huu huja mara moja tu kwa mwaka hivyo yatupasa sote kwa pamoja kufunga na kutenda yalo mema ili kumpendeza mungu alisema.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni