Hamuyawezi kondo "mamaa wa kalieni viti sio umbea" muimbaji wa wakaliwao modern taradance amevunja ukimya kulingana na maneno yanayo endelea kuzungumzwa na wadau kwamba yupo katika mazungumzo na uongozi wa bendi ya moyo modern taarab ili ajiunge nayo!.
HAMUYAWEZI KONDO-MUIMBAJI WAKALIWAO. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni