NA KAIS MUSSA KAIS.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Wakizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wa habari hizi wamiliki na viongozi hao walisema kuwa wamekuwa wakishangazwa sana na khali hii na kujiona kama ni watu wanaotengwa na makampuni hayo!, akitolea mfano kiongozi mmoja ambae ni meneja kwenye moja ya bendi kubwa sana ya taarab hapa nchini alisema kuwa, aliwahi kupeleka "propozo" ya kutaka wadhaminiwe katika tour yao ya mikoa sita ya hapa nchini na humo kote watakapokuwa wakipita watakuwa wakitangaza kinywaji husika kama wadhamini wa safari hiyo lakini cha ajabu tokea mwaka jana mpaka sasa hakuna majibu yoyote, ila katika redio wamekuwa wakidhamini kwa pesa nyingi sana hii si haki, wakumbuke kuwa sisi ndio tunaozalisha hizo nyimbo ambazo wao wanaziona zinafanya vizuri mpaka kufikia kuwapa redio mamilioni ya pesa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni