Ule wimbo uliozua gumzo na mijadala mbalimbali inayoendelea mitandaoni kwa wadau kulumbana "najuta kupenda" umefutwa rasmi leo na kurekodiwa upya chini yake muimbaji "Aisha mtamu kabisa" ndani ya studio za sound crafter's temeke jijini dar.
AISHA MTAMU KABISA-AKIIMBA KWA HISIA KALI. |
Wimbo huo ambao unatarajiwa kuanza kuchezwa redioni kuanzia jumapili ya wiki hii umebadilishwa baadhi ya miziki na hata uimbaji kiasi, unajua huyu Aisha mtamu kabisa ana radha flani "amazing" kwahiyo naamini wapenzi na wadau wataupokea wimbo huu kwa bashasha kubwa kwani ameutendea haki alisikika director msaidizi wa studio hiyo Drezz mavoko akizungumza.
DIRECTOR THABIT ABDUL AKIPIGA KINANDA UPYA KATIKA WIMBO HUO!. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni