Mpiga kinanda wa bendi ya jahazi modern taarab babu ally kichupa hatimae ameuaga ukapela siku ya ijumaa iliyopita hapa hapa jijini dar es salaam.
BABU ALLY KICHUPA AKIWA NA MKEWE BI NURU. |
Akizungumza na mtandao huu Babu ally alisema nina furaha kubwa sana kwa kutimiza hili ambalo limetokea kwa amani na upendo mkubwa toka kwa ndugu na jamaa zangu wa karibu wakiwemo wafanyakazi wenzangu.wa jahazi modern taarab unajua mke wangu mimi alikuwa ni mkristo na alikuwa akifahamika kwa jina la happy lakini nimembadili dini na sasa ni muislam anaitwa Nuru mrs babu ally. namshukuru mungu.
BABU ALLY AKIWA KAMKUMBATIA MKEWE. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni