Anaitwa msagasumu waukweli, kabali yao, mfalme wa uswahilini na majina mengine mengi ambayo nikianza kuyaorodhesha nitamaliza siku nzima.
Huyu ndio ameufanya muziki wa uswahilini kupewa hadhi na kuanza kuchezwa katika redio stesheni mbalimbali hapa bongo, ukipata bahati ya kukutana nae mwenyewe utapenda kwani ni mcheshi sana asiejua kukasirika, yeye ni mtu anaeheshimu kazi kuliko majigambo na majisifu, anaanza kwa kusema kuwa hapo awali hakutegemea kabisa kama siku moja atakuwa muimbaji na atendesha maisha kupitia muziki.
![]() |
MSAGASUMU-MFALME WA USWAHILINI. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni