Katika kile kinachoonekana sheria za kukopi na kupesti kitu cha mwenzako bila ridhaa yake kuanza kutumika mwaka huu, mkurugenzi wa jahazi modern taarab mzee yusuph leo ametoa kalipio kali kabisa kwa bendi zenye mtindo wa kukopi na kupiga nyimbo za bendi yake pasipo ruhusa yake kwamba atazichukulia hatua kali za kisheria.
![]() |
MZEE YUSUPH-MKURUGENZI WA JAHAZI MODERN TAARAB. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni