NA KAIS MUSSA KAIS.
MASHABIKI WAKISEREBUKA. |
Muziki wa taarab kwa sasa umeweza kupanua wigo mpana sana na kusambaa karibia tanzania nzima na jambo la kujivunia zaidi ni pale ilipoanzishwa bendi ya kwanza ya taarab kahama mkoni shinyanga iitwayo kahama modern taarab.
Farida mamaa mushkeri ni mwanamke wa kwanza kabisa kuthubutu na kufungua bendi yake mwenyewe ya taarab iitwayo kahama modern taarab yenye wasanii 12 mpaka sasa na imeanzishwa mwaka 2015 yaani ina mwaka mmoja tokea imeanzishwa. lakini kabla ya kuanzisha bendi yake mwenyewe Farida amepitia bendi ya kagera modern taarab na mwanza modern taarab.
FARIDA "MAMAA MUSHKERI" MKURUGENZI WA KAHAMA MODERN TAARAB. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni