NA KAIS MUSSA KAIS.
Ijumaa, 12 Februari 2016
WAKALIWAO MODERN TARADANCE JUMAMOSI HII NA KILA JUMAMOSI NDANI YA HANAM RESORT KIVULE
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Akizungumza na mtandao huu mkurugenzi wa bendi hiyo thabit abdul alisema kuwa wamejiandaa vyema kabisa kushusha kikosi kizima cha team masauti wakaliwao ili kukonga nyoyo za wadau na mashabiki wa bendi yao, unajua ni muda mrefu sasa tumekuwa tukipokea simu za wapenzi wetu wakituomba kusogeza burudani maeneo ya kwao nasi safari hii tumesikia kilio chao hivyo tunawaomba wajitokeze kwa wingi pasipo kukosa, wasanii waalikwa siku hiyo watakuwa ni msagasumu pamoja nae dogo jack simela wa jagwa musica alisema thabit abdul.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni