Aliekuwa mpiga kinanda wa kutegemewa wa bendi ya gusagusa min bendi Hamisi ally ramadhan almaarufu "Hamisi chizi" ameitosa bendi hiyo na kuamua kujiunga na aljazeera bendi, zote za magomeni jijini dar es salaam.
HAMISI CHIZI AKIWA STUDIO ZA SOUNDCRAFTERS TEMEKE JIJINI DAR. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni