Mkurugenzi wa tanzania motto modern taarab "t motto" Amin salmin komandoo, baada ya ukimya wa muda mrefu hatimae jumatatu ya tarehe 11/4/2016 saa moja kamili usiku atakuwa kikaangoni akijibu maswali ya watangazaji wa taarab waliopo katika group la whatsap liitwalo ubuyu wa taarab.
MKURUGENZI WA T MOTTO AMIN SALMIN KOMANDOO. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni