TANGAZA NASI

Breaking

Jumatano, 27 Aprili 2022

BLOG BORA YA TAARAB YAREJEA.

Na mwandishi wako.

            Muziki wa taarab ni alama tosha ya ukombozi katika nchi hii ya Tanzania, katika siku za karibuni tasnia hii imekosa msisimko na hii inatokana na kukosa promo za mitandaoni kama zilivyo fani zingine.

           Lakini sasa kampuni ya Skillman media chini ya mkurugenzi wake Kais mussa kais imeonelea ni vyema kuifufua tena blog yake ambayo ilijizolea umaarufu mkubwa hapo zamani ya Pambe za taarab.

     Upo mpango wa kurudisha kila kitu ambacho kilikuwepo kwenye blog hii na hata jina la blog kuna uwezekano tukarudisha lile ubuyu wa taarab kama ilivyokuwa awali, natumai tutashirikoana wadau na wasanii ili tuweze kuufikisha mbali muziki wetu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni