NA KAIS MUSSA KAIS.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Akizungumza na mtandao huu mkurugenzi wa bendi hiyo thabit abdul mkombozi alisema kuwa katika onyesho hilo maalum watasindikizwa na bendi ya twanga pepeta sugu kisima cha burudani, excellent modern taarab, msagasumu na dogo jacky simela tokea jagwa music wataalam wa mnanda au mchiriku tanzania.aliendelea kusema kuwa nimeamua kufanya utambulisho wa hashim said pale mango garden sababu ni kiwanja ambacho hashim wamemzoea sanaa! na ana mashabiki lukuki.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni