Baada ya likizo ya takribani wiki mbili waliyopewa wasanii wa wakaliwao modern taradance ili kupisha uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani ambao ulifanyika nchi nzima tarehe 25/10/2015, bendi yako uipendayo ya wakaliwao inaendelea na maonyesho yake kama kawaida.
TEAM WAKALIWAO MODERN TARADANCE. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni