Mkurugenzi wa bendi ya aljazeera modern taarab, Jamali mperampera leo amezungumza na mtandao huu na kusema kwamba yupo mbioni kuipeleka bendi yake Dubai kwa show zipatazo tatu.
JAMALI MPERAMPERA-MKURUGENZI WA ALJAZEERA. |
JAMALI MPERAMPERA-MKURUGENZI WA ALJAZEERA. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni