Muimbaji chipukizi na anaekuja kwa kasi ya ajabu Black kopa ambae ni mtoto wa malkia wa mipasho nchini tanzania khadija omary kopa, amesema anataka kufanya tofauti juu ya aina ya uingiaji wake stejini siku ya uzinduzi wa bendi ya ogopa kopa sambamba na uzinduzi wa albam mpya pale dar live tarehe 7/5/2016.
PRINCE BLACK KOPA AKIWA STEJI. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni