Siku ya jumamosi tarehe 7/5/2016 ni siku ambayo malkia wa mipasho nchini tanzania khadija omary kopa hatoisahau katika maisha yake ya muziki nchini, kwani kwa mara ya kwanza alifanikiwa kuzindua bendi yake mwenyewe ya ogopa kopa classic kwa kishindo kikubwa ambacho hakijapata kutokea ndani ya ukumbi wa dar live mbagala jijini dar es salaam, zifuatazo ni baadhi ya picha zilizopatikana katika onesho hilo:-
WAIMBAJI WA OGOPA KOPA CLASSIC WAKISEREBUKA KWA RAHA ZAO. |
OMARY ZUNGU AKIPAPASA KINANDA HUKU KAPTEN TEMBA AKITAZAMA. |
PRINCE BLACK KOPA AKICHEZA SAMBAMBA NA KHADIJA OMARY KOPA. |
YOUNG HASSAN ALLY AKIWASHIKA MIKONO MASHABIKI WAKE. |
KAMONGO MR BEAN AKIPAPASA KINANDA KWENYE UZINDUZI HUO. |
MALKIA KHADIJA KOPA AKITOA NASAHA CHACHE PAMOJA NA SHUKRANI KWA VYOMBO VYA HABARI. |
PRINCE BLACK KOPA AKIWA NA MAMA YAKE KHADIJA OMARY KOPA. |
YOUNG HASSAN ALLY AKIIMBA STEJINI. |
HAWA WALIKUWA KAMA WALINZI WA MTOTO WA MALKIA YAANI PRINCE BLACK KOPA. |
SHAMPENI IKIFUNGULIWA KWA SHANGWE NA FURAHA NA TEAM OGOPA KOPA. |
MALKIA WA MIPASHO KHADIJA KOPA AKIONGOZA WAIMBAJI WAKE KUCHEZA KWA FURAHA. |
HUU NI UMATI WA MASHABIKI ULIOJITOKEZA KATIKA UZINDUZI HUO DAR LIVE. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni